Rashidy Mpendwa Kwa mpenzi wangu Bi Omena. Sanduku la posta 10, Jangwani. Lazizi, Mwaaaaah! ama wataka busu nyingine? Nimeandika barua hii kwa hofu kuu kwani naogopa hii ni mara ya mwisho tutakutana kwenye mji mkuu wa sahani. Amini usiamini, nitamisi sana tabia yako nzuri ya kunitengezea kitoweo cha kufinyanga kwa sima wa mahindi. Kwa hakika, sina furaha kwani ahadi zako kwamba tutakutana sokoni zimeambulia patupu.kila wakati nimeenda sokoni sijakupata. nimewapata tuu mandugu na madada zako kiboma, kambare, mbuta na tilapia. Shemeji yako Tilapia ameniarifu kwamba idadi ya familia yenu imepungua sana katika ziwa victoria. Kisa na maana,Tilapia aliteta vikali kwamba chemichemi ya maji ya mau imeharibiwa pakubwa na jamii ya wanadamu. ailisistiza kwamba msitu huo uhifadhiwe ikiwa nataka kuonja tena kitoweo chako. Mpenzi, wajua kwamba nakuota kila nikila? matonge ya sima yananinyonga kila nikiwaza kukuhusu. By the way nimeamua nitakujengea bonge la swimming pool uje uishi na fam...
JAMVI LA BURUDANI,MAARIFA NA USHAURI